Wednesday, March 9, 2016

WAZIRI MAKAME MBARAWA AKAGUA METER ZA KUPIMA MAFUTA KIGAMBONI



FLO2
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa Meneja ujenzi wa kampuni ya BQ Bw. Neven Slavujevic  inayojenga mtambo wa kupima mafuta bandarini (flow meter ) kwenye kituo cha kupakulia mafuta kilichopo Mji Mwema Kigamboni jijini Dar es salaam.
FLO3
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa, akipanda juu ya mtambo wa kupima mafuta bandarini (flow meter) kwa ajili ya kuukagua kwenye kituo cha kupakulia mafuta kilichopo Mji Mwema Kigamboni jijini Dar es salaam.
FLO4
Meneja ujenzi wa kampuni ya BQ Bw. Neven Slavujevic  inayojenga mtambo wa kupima mafuta bandarini (flow meter )akifafafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa alipokagua mtambo huo.
FLO5
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa, akitoa maelekezo kwa wajenzi wa Flow meter ya Mji mwema.
FLO6
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa, akimsikiliza mmoja wa abiria wanaotumia kivuko cha Magogoni kabla  ya kukikagua.
FLO1
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa, akimsikiliza mtaalam wa kivuko eneo la Magogoni jijini Dar es salaam wakati alipokagua kivuko cha MV Kigamboni na MV Magogoni kuona utendaji wake.

No comments:

Post a Comment