Wednesday, March 9, 2016

NOU CAMP KUWA KTIK MUONEKANO MPYA 2021

Tarajia kuuona uwanja wa FC Barcelona katika muonekano huu 2021


Klabu ya FC  Barcelona ya Hispania ambayo imezoeleka kutumia uwanja wake wa Nou Camp, March 9 imetoa picha za muonekano wa uwanja wao utakavyokuwa kwa miaka minne ijayo. FC Barcelona wametoa pichaz ramani ya ujenzi wa uwanja huo ambao utajengwa kwa thamani ya Pound milioni 465.
320216F000000578-3483182-Work_to-m-21_1457485185176
Mabingwa hao wa Ulaya wamethibitisha kuwa mchora ramani na mbunifu wa Kijapan Nikken Sekkei ndio ameshimda tenda ya kufanya ukarabati wa uwanja huo hadi utakapokamilika 2021, ambao utakuwa na uwezo wa kuchukua mashabiki 105000.
3202172E00000578-0-image-a-3_1457483059471
320216D400000578-0-image-a-2_1457483053598
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa Tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment