Friday, March 25, 2016

BOMBA TUTALIJENGA PALEEEEEEEEEEEEEEEEEE



Kapteni wa Mamlaka ya Bandari Tanzania  (TPA), Andrew Matilya, akimuonyesha Waziri wa Maendeleo Nishati na Madini wa Uganda, Irene Muloni eneo ambalo litajengwa bomba la mafuta kutoka Tanga hadi Uganda. Wa nyuma ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella.




 Waziri wa Maendeleo Nishati na Madini wa Uganda, Irene Muloni, akiangalia ramani ya eneo ambalo litajengwa bomba la Mafuta kutoka Tanga hadi Uganda ambalo litajengwa eneo la Raskazone. Wapi kushuto mwenye suti ya blue ni Mkurugenzi wa Shirika la POetrol Tanzania (TPDC) James Mataragio (kulia) mwenye shati jeupeni Kapteni wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Andrew Matilya na kushoto ni Kaimu Meneja wa Bandari Tanga, Hendry Arika.


No comments:

Post a Comment