Wednesday, April 27, 2016

DARAJA LA NYERERE BRIDGE LAINGIA KWENYE LIST YA MADARAJA MAZURI

Inawezekana Daraja la ‘Kigamboni’ siku likaingia kwenye list kama hii?

 Daraja linalounganisha Kigamboni na Kurasini likizinduliwa hivi karibuni na daraja limepewa jina la ‘Nyerere Bridge’, daraja hilo limekuwa kivutio kwa wengi ndani na hata nje ya nchi.
nyerere bridge
Daraja la Nyerere ni daraja kubwa na la kisasa Afrika Mashariki na kati, uzuri na mvuto wa daraja la Mwl Nyerere ‘Kigamboni’ inawezekana ukaliingiza kwenye hii list ya haya mengine Duniani mapya yenye muonekano Mzuri? ambayo list hiyo imetolewa kupitia mtandao wa CNN April 27 2016,
.
Garden Bridge, (London, UK) ‘bado linaendelea kujengwa’ tayari kuna zaidi ya madaraja 30 yanayokatiza mto huo huko London lakini mradi huu mpya unaonekana kuwa kabambe zaidi. Designer Thomas Heatherwick amebuni daraja hilo kwa namna ya kufunikwa na bustani
.
Danjlang Bridge (Talpel, Taiwan)
.
Lucky Knot Bridge (Changsha China) daraja hili limepangwa kufunguliwa baadae mwaka huu, jina na muonekano wake unatokana na mapambo ya kichina ambayo yanahusishwa na bahati.
.
Solvesborg Bridge (Solvesborg, Sweden)
.
Hellx Bridge(Marina Bay, Singapore) 
.
Koge North Station (Koge, Dernmark)
.
Puente Laguna Garzon (Garzon, Uruguay)
.
Sarajevo Bridge (Barcelona, Spain)
.
Cirkelbroen (Copenhagen, Dernmark)
.
Zhangjlajle Canyon Bridge (Zhangjlajle city, China)
.
Nine Elms Bridge (London, UK)
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa Tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment