Thursday, April 21, 2016

UJAMBAZI TANGA KUKOMESHWA



 Kamanda wa Polisi Tanga, Leornard Poul, akizungumza na waandishi wa habari juu ya tukio la uvamizi wa majambazi katika Super Market  (Centrol Bakery) jana  usiku na kupora zaidi ya shilingi milioni mbili kisha kuwapiga risasi watu wanne na kufa papo hapo.\
Tukio la Ujambazi la kutisha limelaaniwa na watu wengi na kuliomba jeshi la polisi kukomesha vitendo hivyo. 
Kwa muda wa mwezi mmoja kumetokea vitendo vya ujambazi zaidi ya matatu hivyo wananchi kushtusha hivyo kulitaka kuwakamata na kuutokomeza mtandao huo ambao umekuwa ukiwaogopesha wananchi.





No comments:

Post a Comment