Saturday, April 30, 2016

GOROFA NAIROBI LAPOROMOKA NA KUUWA WATU SITA

Jengo la ghorofa sita limeporomoka Nairobi na kusababisha vifo

Nairobi Nchini Kenya mvua zinazoendelea kunyesha wiki hii zimesababisha vifo ambapo mpaka sasa imeripotiwa watu 15 kufariki na kati ya hao 7 wamefariki baada ya jengo la ghorofa sita kuporomoka usiku wa April 29 2016 eneo la Huruma na zaidi ya watu 120 wameokolewa.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

.
.
.
.
.
.
nairobi 1.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa Tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment