Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Balozi Eng. John William Herbert Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu
 jijini Dar es Salaam. Balozi Kijazi anachukua nafasi ya Balozi Ombeni 
Sefue ambaye atapangiwa kazi nyingine. 
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri 
Mkuu Kassimu Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John William 
Herbert Kijazi wakwanza kushoto na Wamwisho kulia ni aliyekuwa Katibu 
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue. 
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri 
Mkuu Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John William 
Herbert Kijazi aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue pamoja
 na viongozi Wakuu wa Ulinzi na Usalama nchini.



 
No comments:
Post a Comment