Treni 11 za kifahari zaidi duniani, moja ilishawahi kuja Tanzania
on
Treni ya Rovos rail ambayo
utembea polepole na kuelekea maeneo mbalimbali ya vivutio vya nchi za
Afrika kama vile Afrika kusini, Zimbabwe, Namibia na Tanzania. Rovos rail ni
treni ya kifahari zaidi ambayo hufanya safari ndefu kwa siku kadhaa
usiku na mchana kwa sababu treni hiyo kamwe haisafiri zaidi ya kilometa
60 kwa saa, kwenye treni hiyo abiria wanaweza kufungua madirisha
nakupata hewa safi au kupiga picha.

Treni ya Rovos Rail


Treni ya Rovos rail sehemu ya ndani
- Seven star, ni treni ya kifahari zaidi Japan ambayo ina mabehewa saba ambayo yanachukua watu 30 kwenye siti 14.


2. Rocky Mountalneer, treni ya Canada ambayo hufanya safari mbalimbali Vancouver


Treni ya Rocky Mountalneer sehemu ya ndani


Treni ya Maharajas’ Express sehemu ya ndani


Sehemu ya chakula kwenye treni ya Golden Egle


6. Blue Train, hii hufanya safari za Pretoria-Cape town South Africa


sehemu ya ndani


8. The Ghan, hufanya safari zake kutoka Darwin kwenda Adelaide ambayo hupitia katikati ya Australia


Mgahawa unaopatikana ndani ya treni ya Ghan


Sehemu ya kulala inayopatikana ndani ya treni ya Canadian


Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa Tangakumekuchablog
No comments:
Post a Comment