Monday, June 22, 2015

MAN U YAWAWINDA RAMOS NA SCHWENTEIGER

Man U yamwinda Schweinsteiger na Ramos

Klabu ya Manchester United ina hamu ya kumsajili kiungo wa kati wa Bayern Bastian Schweinsteiger na mlinzi wa Real Madrid Sergio Ramos.
Kocha wa klabu hiyo Louis Van Gaal anajaribu kuimarisha kikosi chake baada ya kumaliza katika nafasi nne  ligi kuu ya EPL.null
Schweinsteiger mwenye umri wa miaka 30 na Ramos mwenye umri wa miaka 29 ni kati ya wale wanaomvutia.
Mkataba wa Ramos itakamilika mwaka 2017 huku ile ya Schweinsteiger ikiendelea hadi mwisho wa mwaka 2016.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapa hapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment