Tuesday, June 23, 2015

NORTH KOREA NA MIKAKATI YA UVUJAJI SIRI ZA NCHI

North Korea imeamua haya kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii!!

IG 3North Korea wamechukua hatua kali za kulinda siri za nchi baada ya kukerwa na vitendo vinavyo ashiria uvujaji wa siri za nchi hio. Kwa muda sasa North Korea imekua ikijitahidi kupambana na uvujaji wa taarifa kutoka nchini humo kwenda kwenye mtandao wa Instagram ambao baada ya jitihada nyingi lengo lao limetimia.
Hali sasa iko hivi watumiaji wa mtandao ya Instagram kupitia application ya ku-repost picha iitwayo Instagram Photo Sharing App wamezuiliwa kushare post zozote zinazo ashiria uvujaji wa siri kutoka nchini himo, na kwa mtu yoyote atakae jaribu kushare picha yoyote inayoashiria kua picha ya kusambaza siri za ndani za nchi wanakutana na ujumbe unaosema; >>>“Onyo! Huwezi kuonganishwa na Website hii kwa sababu imezuwiwa kutumika na application hii”.
Instagram 1Baadhi ya magazeti nchini humo yamesma kwamba maamuzi haya yametokana na mkasa uliotokea June 11 ambako hoteli maarufu nchini humo yene jina Konyo Hotel ilishika moto na kuungua, na licha ya nchi hio kuiweka ishu hio chini ya kapeti baadhi ya wapiga picha walivujisha picha hizo inje ya nchi na kisha picha hizo zika sambaa kwenye mtandao wa Instagram.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapa hapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment