Friday, June 24, 2016

MAKUNDI KOMBE LA DUNI KWA AFRIKA 2018 YATAJWA

Makundi ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2018 ukanda wa Afrika

Usiku wa June 23 2016 shirikisho la soka barani Afrika CAF lilichezesha droo ya Makundi ya ukanda wa Afrika, timu ambazo zitawani kufuzu Kombe la dunia 2018 Urusi, makundi yamepangwa matano na kwa taratibu ukanda wa Afrika unatoa timu 5, hivyo katika makundi hayo matano kila Kundi kinara ndio atafuzu michuano hiyo.
grp
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment