Monday, June 20, 2016

WATU 10 WAFARIKI AJALI YA BASI MOROGORO


Basi la NBS linalotoka DAR kwenda TABORA limepata ajali  maeneo ya Gairo Morogoro. Watu 4 wafariki na 10 kujeruhiwa katika ajali hiyo
Huku ajali nyingine ya basi la KISBO likijeruhi watu kadhaa Morogoro.  Limepata ajali ya kuparuzana na trailer flatbed eneo la Magubike Kilosa.



No comments:

Post a Comment