Wednesday, June 22, 2016

VYOO VYA KALE KUREJESHWA KOREA

Korea Kusini kurejesha vyoo vya kale

Mamlaka katika mji mkuu wa Korea Kusini, Seoul, imebadili sera zake kuhusu vyoo vya umma.
Utafiti uliofanywa ulibaini kuwa robo ya watu weote waliohojiwa walitaka kuwepo vyoo vya kale vyenye shimo badala vya kisasa.
Vyoo vya kale nchini korea kusini vilikuwa vya kuchuchumaa
Lakini serikali iliamua kuwa wakati nchi hiyo ilipounuka na kuwa tajiri, ilikuwa bora kujenga vyoo vya kisasa.
BBC

No comments:

Post a Comment