Saturday, June 18, 2016

POLISI TANGA YAKAMATA SILAHA YA KIVITA



Kamanda wa Polisi Tanga, Leonard Poul, akiwaonyesha waandishi wa habari bunduki ya kivita aina ya AK47 iliyokuwa na risasi 37  iliyokamatwa wakati wa ukaguzi wa magari  kizuizi cha  Chekelezi Wilayani Korogwe na mtu anaedhaniwa kuwa jambazi aliefahamika kwa jina la Benjamin Wales aliyokuwa ameificha katika begi akiwa akisafiri kutoka Karatu kuelekea Dar es Salaam, Jambazi hilo liliuwawa na polisi wakati akijaribu kuwatoroka.
Tkribani miezi mitatu jeshi la polsi Tanga limeongeza ulinzi na operesheni maradufu kukabiliana na uhalifu na upitishaji wa wahamiaji haramu na bidhaa za magendo.
Katika siku za hivi karibuni jeshi hilo limefanikiwa kukamata silaha na watuhumiwa wa uhalifu wa matukio mbalimbali




No comments:

Post a Comment