Tuesday, June 21, 2016

SOKO LA DEEP SEA TANGA



Mchuuzi wa samaki soko kuu la Deep Sea Tanga, Zoba Mapesa, akimnadi Pweza kwa wateja waliotaka kumnunua , Pweza huyo aliuzwa 25,000. 
Kwa siku za karibuni Pweza kilikuwa kitoweo adimu na kupelekea kilo kuuzwa 10,000.



 Mchuuzi akionyesha moja ya mikia ya Pweza ambaye aliuzwa kwa 20,000 ambapo wateja walikuwa wanahitaji kwa wingi

No comments:

Post a Comment