Monday, June 27, 2016

MESS ABWAGA MANYANGA TIMU YA TAIFA BAADA YA KUKOSA PENALT

Messi ajiuzulu baada ya kukosa penalti

Mshambulizi wa Argentina na Barcelona Lionel Messi amestaafu kutoka soka ya kimataifa.
Mchezaji huyo bora zaidi duniani alitangaza hatua hiyo baada ya kukosa penalti iliyoiwezesha Chile kuilaza Argentina katika fainali ya mchuano wa Copa America.
BBC

No comments:

Post a Comment