Friday, June 24, 2016

SOKONI MGANDINI TANGA

  Takatakata zikiwa zimerundikana soko  kuu la Mgandini Tanga na kuzagaa hadi  maeneo ya vizimba vya biashara na vya  mama ntilie na kutoa harufu kali na wadudu wachafu kutambaa maeneo yao.
Mbali ya halmashauri ya jiji la Tanga kufanya usafi katika mifereji na masoko kila siku lakini inadaiwa kuwa usafi katika masoko bado hivyo kutakiwa kuongeza kasi kwa wafanyabiashara ili kutunza mazingira yao kuepuka miripuko ya magonjwa.



Eneo la soko la Mgandini likiwa limezungukwa na takataka na wadudu wachafu kuingia ndani ya vizimba vya biashara

No comments:

Post a Comment