Saturday, June 18, 2016

WAMACHINGA KARIAKOO WACHARUKA

Wamachinga wachoma matairi mtaa wa kongo k,koo


  MTAA wa kibiashara na kitovu cha Uchumi chenye mkusanyiko wa watu mbalimbali ndani na nje ya nchi maeneo ya k,koo hasa mtaa wa Kongo na Agrey Wamachinga wachoma matairi na kusababisha hali ya taaruki katika maeneo hayo..
Hali hii imetokea baada ya Polisi wa jiji kuwazuia wamachinga kufanya biashara katika maeneo hayo na kupelekea Baadhi ya wamachinga kukamatwa na wengine kunyang'anywa mali zao na wakaamua kuchoma matairi na kufanya vurungu ambazo ziempelekea kuchoma matairi na hali ya utulivu wa watu na mali zao kutoweka.

No comments:

Post a Comment