Tuesday, November 25, 2014

Chama Cha Wauguzi Tanzania (TAMA) chatoa elimu ya Uguuzi Korogwe


Muuguzi hospitali ya Magunga Wilayani Korogwe Mkoani Tanga, Chevu Mkufya akiwaonyesha, muuguzi Chuo cha Muhimbili, Elizabert Mwakalina kulia na Muuguzi mstaafu kutoka Canada, Angella Spencer kulia picha ya mtoto mchanga akiwa amezalishwa katika kituo ambacho hakitambuliki na kupata athari katika viungo vyake wakati wa kongamano la Chama Cha Wauguzi Tanzania (TAMA) ilofanyika jana.

 Muuguzi mstaafu kutoka Canada, Angella Spencer akitazama picha katika simu inayoonyesha madhara ya wazazi kujifungua  katika sehemu ambazo hazitambuliki,kushoto ni muuguzi chuo kikuu cha Muhimbili, Elizabert Mwakalinga wakati wa kongamano lililoitishwa na Chama Cha Wauguzi Tanzania (TAMA) jana.





No comments:

Post a Comment