Tuesday, November 25, 2014

Ajali Shinyanga


Picha: Taarifa iliyotufikia kuhusu ajali iliyotokea Shinyanga Punde,Pata Uhondo na Kumekucha Blog

IMG-20141125-WA0005Kupitia kipindi cha ‘Leo Tena’ ya Clouds FM, imeripotiwa kuhusu tukio la ajali nje kidogo ya Mji wa Shinyanga ambapo gari aina ya Hiace imepata ajali, mashuhuda wamesema gari hiyo ilimshinda dereva kwenye kona, ikagonga daraja na kupinduka.

Gari hiyo ilikuwa inatoka Kahama kwenda Shinyanga ambapo mashuhuda wamesema kuna watu ambao wamefariki na wengine majeruhi katika ajali hiyo, Kumekucha Blog itakupa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo baada ya kuwasiliana na Kamanda wa Polisi Shinyanga.
Hizi ni picha za katika tukio hilo.
IMG-20141125-WA0005
IMG-20141125-WA0006
.
.
.
.
.
.
.
.

No comments:

Post a Comment