Picha: Taarifa iliyotufikia kuhusu ajali iliyotokea Shinyanga Punde,Pata Uhondo na Kumekucha Blog
 Kupitia kipindi cha ‘Leo Tena’ ya Clouds FM,
 imeripotiwa kuhusu tukio la ajali nje kidogo ya Mji wa Shinyanga ambapo
 gari aina ya Hiace imepata ajali, mashuhuda wamesema gari hiyo 
ilimshinda dereva kwenye kona, ikagonga daraja na kupinduka.
Kupitia kipindi cha ‘Leo Tena’ ya Clouds FM,
 imeripotiwa kuhusu tukio la ajali nje kidogo ya Mji wa Shinyanga ambapo
 gari aina ya Hiace imepata ajali, mashuhuda wamesema gari hiyo 
ilimshinda dereva kwenye kona, ikagonga daraja na kupinduka.
Gari hiyo ilikuwa inatoka Kahama kwenda 
Shinyanga ambapo mashuhuda wamesema kuna watu ambao wamefariki na 
wengine majeruhi katika ajali hiyo, Kumekucha Blog itakupa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo baada ya kuwasiliana na Kamanda wa Polisi Shinyanga.
Hizi ni picha za katika tukio hilo.






 
No comments:
Post a Comment