Friday, November 21, 2014

 Wahitimu wa mahafali ya 38 Chuo cha Ufundi Stadi Veta Tanga wakiwa katika maandamano ambapo wahitimu 156 wa kozi mbalimbali walimaliza
W

 Furaha ya kumaliza mafunzo Chuo Cha Ufundi Veta Tanga kama, wahitimu 156 walimaliza
 Walicheza na kufurahi hasa pale walipotunukiwa vyeti vyao
Vimbwanga na viburudisho kila aina vilitawala katika mahafali hayo ambayo yalifana

No comments:

Post a Comment