Tuesday, November 18, 2014

 Mkuu wa Wilaya ya Muheza Subira Mgalu akikahua ujenzi wa maabara shule ya sekondari ya Ngomeni Wilayani humo mapema leo
 Mkuu wa Wilaya ya Muheza, Subira Mgalu akikagua ujenzi wa maabara shule ya sekondati ya Ngomeni Wuilani humo mapema leo
 Mkuu wa Wilaya ya Muheza Subira Mgalu akilalamika kusuasua kwa ujenzi wa maabara Shule ya Sekondari ya Ngomeni Wilayani humo mapema leo asubuhi
Mkuu wa Wilaya ya Muheza, Subira Mgalu akikagua ujenzi wa maabara shule ya Sekondari ya Ngomeni mapema leo asubuhi

No comments:

Post a Comment