Sunday, November 30, 2014

Tunawapiga picha

 Mapaparazi na ndugu na jamaa wakipiga picha kwa kutumia camera za simu zao wakati wa mahafali ya 14 shule ya awali Hill View ya Korogwe Tanga juzi.


 Hakuna kulala kila mtu yuko bize
 Kila mtu anaonekana kuonyesha umahiri wake kwa simu aliyonayo

Wenye bsimu za vitochi wameula na chuwa

No comments:

Post a Comment