Tuesday, November 25, 2014

Biashara Kituoni



 Wafanyabiashara wamachinga kituo cha mabasi Wilayani Korogwe Mkoani Tanga wakitafuta wateja wa kuwauzia bidhaa zao katika magari kupitia madirishaji. Picha na Kumekucha Blog




Kituo cha mabasi Korogwe Mkoani Tanga kama jamaa hawa wamachinga wakiwa wamelizunguka kosta kutafuta wateja wa bidhaa zao na kudaiwa kuwa kero kwa abiria

No comments:

Post a Comment