Friday, November 14, 2014

WANANCHI WATAKIWA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII(CHF)

 Wakazi wa kijiji cha Ndondondo kata ya Potwe Wilayani Muheza Mkoani Tanga, wakisikiliza elimu ya kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya (CHF) iliyokuwa ikitolewa na wataalamu wa mfuko huo kutoka Makao Makuu Dar es Salaam na Tanga juzi.



No comments:

Post a Comment