Thursday, November 20, 2014

 Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga mji mdogo wa Soni halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli Tanga wakipanga bidhaa zao kusubiri wateja.
 Wafanyabiashara wa mboga mboga na matunda mji mdogo wa Soni halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli Tanga wakiwa katika ujasiriamali. Wanawaker kama hawa wanastahili kuwezeshwa ili kujikamua kimaisha na kuacha kuwa wategemezi wa wanaume.

Kama ambavyo wanaonekana wakichakarika ili mradi tu wasiwe wakaaji na walinzi wa majumba wakati uwezo wa kufanya kazi wako na hata kama na mtoto mgongoni, hii ni kwa sababu kufanya kazi na utakuja taka kufanya kazi nguvu zimekuishia.Kumekucha Blog 0655 902929

No comments:

Post a Comment