Tuesday, November 18, 2014

Msaada matibabu

 Mkazi wa Kwanjeka Tanga, Elis George akiwa na mtoto wake ambaye amegundulika kuwa na moyo mkubwa  akizungumza na Blog hii nyumbani kwake leo na hivyo mwenza wake kuwa sababu ya kumkimbia na hivyo kuomba msaada wa matibabu kwenda hospitali ya Muhimbili. Mwenye kuguswa na tatizo hilo anaweza kuwasiliana na mama watoto huyo kwa simu namba 0656 197459
 Mzazi wa mtoto William Richard akiwa nyumbani kwake akizungumza na Blog hii baada ya mwenza wake kumkimbia kufuatia vipimo vya mtoto kugundulika kuwa na moyo mkubwa.
 Mtoto William Richard akiwa na mama yake nyumbani kwao akizungumza na Blog hii baada ya mwenza wake kumkimbi kufuatia vipimo vya mtoto kuonyesha yuko na moyo mkubwa na hivyo kuomba msaada wa kwenda hospitali ya Muhimbili kwa matibabu
 Mawa mtoto akiwa na majonzi ya mwanawe kufuatia mume kumkimbia kufuatia vipimo vya mtotokuonyesha yuko na moyo mkubwa. kwa mawasiliano na mama mtoto huyo piga 0656 197459
Kwa wote ambao wameguswa na tatizo la mtoto kuugua na mwenza wa mama huyo kumkimbia wasiliana nae moja kwa moja kwa simu 0656 197459

No comments:

Post a Comment