Sunday, November 23, 2014

Soka Uwanjani, African Spotrs ya Tanga yaidungua Villa Squards kwa mabao 2 kwa 1






Picha namba 1,Wachezaji wa African Spotrs ya Tanga wakilishambulia lango la Villa Squards wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza Tanzania Bara uliochezwa katika uwanja wa CCM Mkwakwani, African Spiotrs ilishinda kwa mabao 2,  1

Picha namba 2,Mshambuliaji wa timu ya Villa Squards,Mussa Alli (29) akijaribu kumzuia mchezaji wa African Spotrs , Khalfan Twenye wakati wa mcheo wa ligi daraja la kwanza Tanzania Bara uliochezwa uwanja wa CCM Mkwakwani, African Spotrs ilishinda kwa mabao 2,1

Picha nsmbs 3, Mlinda mlango wa African Spotrs ya Tanga, Tokalla Nzauakidaka mpira wa kichwa uliopigwa na mshambuliaji wa Villa Squards Abdull Muharam wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza Tanzania Bara uliochezwa katika uwanja wa CCM Mkwakwani juzi, African Spotrs ilishindwa kwa mabao 2, 1

Picha nambari 4, Mlinda mlango wa timu ya Villa Squards, Fadhili Said (1) akiwa ameduwaa baada ya kufungwa bao la pili wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza Tanzania Bara uliochezwa uwanja wa CCM Mkwakwani huku beki Deus Chissambale akishika kichwa akiwa haamini kilichotokea.

Picha na Kumekucha Blog

No comments:

Post a Comment