Wednesday, June 3, 2015

KITRISHO CHA EBOLA CHATOWEKA SERALEON

Kenya Airways yarudisha safari za S.Leone

Shirika la ndege la Kenya limeanza tena kusafirisha wateja wake baina ya miji ya Nairobi na Freetown nchini Sierra Leone.
Ni shirika la kwanza kurejea nchini humo baada ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola kuzuka mwaka uliopita.
Idadi ya maambukizi inapungua na kumekuwa na watu 12 tu waliopata maradhi hayo katika wiki moja iliyopita.
Shirika la ndege la Ufaransa pia linatarajiwa kurejea nchini humo baadaye mwezi huu.

No comments:

Post a Comment