Wednesday, June 3, 2015

JEURI YA PESA

Hii gari ilikuwa story kubwa sana mitandaoni TZ ikahusishwa na pesa za ESCROW, ni kweli iko TZ?

B7k1IiDIQAA0pUg
Story zilikuwa nyingi mitandaoni kuhusu picha ya hii gari.. nakumbuka wakati ule ishu ya ESCROW ilikuwa bado mjadala mkubwa Bungeni na mtaani pia hapa TZ.. Watu wakasema kuna kigogo mmoja wa ESCROW ndio aliyeagizia hii Rolls Royce Phantom.
Hii iko kwenye mitandao tena, hii gari ni story kubwa Nairobi kila inakopita yani.. Kumbe haikutua TZ kama ambavyo watu walidhani, ilitua Kenya na iko tayari mtaani mtu anatembelea.
Rolls Dude
 Hapa tayari iko barabarani na namba za usajili wa Kenya.
rolls_r
rolls2
Rollls
Hii ndio headline ya story ya leo kutoka , Jiji la Nairobi.
Kwa habari matukio na mambo kedekede , ni hapa hapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment