Monday, June 1, 2015

MTI UNAOAMBUKIZA UGONJWA WA EBOLA WAGUNDULIKA GUINEA

Mti wa Ebola nchini Guinea

Mti wa Ebola
Kuna mti unaodaiwa kusababisha mlipuko wa Ebola nchini Guinea.Kundi moja la wavulana lilimpeleka mwandishi wa BBC katika mti huu.
Walielezea kwamba siku moja waliwasha moto katika mti huo na popo wakaanguka kutoka kwa mti huo.
Waliwajaza popo hao katika mifuko na kuwala.Wakati huo hakuna mtu ambaye alikuwa amewahi kufariki na mlipuko wa Ebola.

No comments:

Post a Comment