Tuesday, June 2, 2015

UGUMBA WAMPELEKA KUIBA MTOTO HOSPITALI YA MWANANYAMALA

Mwanamke kakamatwa akitaka kuiba mtoto Mwananyamala..

A picture shows the feet of a new-born at the maternity of the Argenteuil hospital, in a Paris suburb, on July 22, 2013.  AFP PHOTO / FRED DUFOUR        (Photo credit should read FRED DUFOUR/AFP/Getty Images)
Mwanamke mmoja ambaye amesema kwamba mume wake alikuwa anamdai kila siku mtoto.. akaamua aingie Hospitali ya Mwananyamala kwenye wodi ya Wajawazito, akajifanya na yeye ni mjamzito.
Baada ya kukaa kwa muda wanawake wenzake walimshtukia alikuwa kwenye pilika pilika za kutaka kuiba mtoto, walipopeleleza wakajua kwamba hakuwa mjamzito na alikuwa na mpango wa kuiba mtoto.. ishu ikafika Polisi na kwa sasa bado kesi iko mikononi mwao.
Kwa habari na matukio ya ukweli na uhakika ni hapa hapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment