Thursday, December 17, 2015

JICHO LA TANGAKUMEKUCHABLOG MITAANI



 Wakazi wa barabara ya 14 Ngamiani kusini wakiangalia chemba la maji machafu likitiririsha maji na kutoa harufu kali na kupatwa na kitisho cha kukumbwa na ugonjwa wa kipindupindu jambo ambalo limekuwa kero kwa muda mrefu kwa wakazi wa mtaa huo na wapiti njia.
Jiji la Tanga limekuwa katika changamoto kubwa ya kukabiliana na uchafu  na karo kufurika maji machafu jambo ambalo wananchi wamekuwa wakihoji ilhali wanalipa ada ya usafi kila mwaka.






No comments:

Post a Comment