Tuesday, December 29, 2015

KOMBE LA MAPINDUZI CUP KUTIMUA VUMBI ZANZIBAR

Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …


Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi.
OFFICIAL FIXTURE
CHANZO CHA HII STORI: BIN ZUBEIRY ONLINE SPORTS
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment