Monday, December 21, 2015

MAGUFULI NA SEIF WATETA IKULU

Rais MAGUFULI alivyokutana na Maalim Seif leo Dec.21,2015 ikulu…Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli leo Desemba 21,2015 amekutana na Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Maalim Seif  Ikulu Dar es salaam na kufanya naye Mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa visiwani humo.
maalim

maal2

maal3

maalim4

maalim5

Kwa habari, matukio na michezo ni hapa hapa Tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment