Monday, December 28, 2015

MAWAZIRI WENGINE WAAP[ISHWA LEO IKULU

RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI IKULU LEO

2
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mh. Profesa Makame Mbarawa Ikulu, ambapo amewapisha mawaziri watano kujaza nafasi za mawaziri zilizokuwa wazi katika wizara kadhaa za serikali ya awamu ya tano, Hafla ya kuwaapisha mawaziri hao imefanyika leo asubuhi.(PICHA NA JOHN BUKUKU – FULLSHANGWE-IKULU)
3
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mh. Gerson Lwenge kuongoza wizara hiyo ikulu leo asubuhi.
4
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango kuongoza wizara ya fedha.
5
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Waziri wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Dk. Joyce Nderichako.
6
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Naibu Waziri wa Wizara ya Ndani Hamad Yussuf Masauni.
7
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akipiga picha ya pamoja na mawaziri walioapishwa katika picha wa pili kutoka kushoto ni Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan, wa pili kutoka kulia ni Mh. Majaliwa, Kassim Majaliwa Waziri Mkuu, Kulia ni Mh. Goerge Masaju Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi Mh. Ombeni Sefue.
8
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akipiga picha ya pamoja na mawaziri walioapishwa pamoja na manaibu Waziri katika  wa pili kutoka kushoto ni Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan, wa pili kutoka kulia ni Mh. Majaliwa, Kassim Majaliwa Waziri Mkuu, Kulia ni Mh. Goerge Masaju Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi Mh. Ombeni Sefue.
9
Baadhi ya Mawaziri wakiwa wamekaa katika hafla hiyo kutoka kushoto ni Mh. Dk. Agustino Mahiga waziri wa mambo ya nje , Ushirikiano wa Kimataifa , Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kimataifa na Kikanda,  Mh. Dk. Harrison Mwakyembe Waziri wa Sheria na Katiba, Mh. Charles Kitwanga Waziri wa Mambo ya Ndani na Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi na Mawasiliano Mh. Injinia Edwin Mgonyani.
10
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mh. Waziri Mkuu Majaliwa, Kassim Majaliwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali Mh. George Masaju katika hafla hiyo.
11
Mawaziri walioteuliwa wakisubiri kuapishwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli Ikulu leo jijini Dar es salaam. 
12
Baadhi ya waandishi wa habari waksubiri kushuhudia tukio hilo.

No comments:

Post a Comment