Sunday, December 27, 2015

LIST YA WASHINDI WA TUZO ZA GLOB SOCCER 2015

List ya washindi wa tuzo za Globe Soccer Awards 2015, Lionel Messi kashinda, hii ndio list kamili …

Ikiwa ni siku kadhaa zimepita toka gazeti la Hispania la Marca litangaze list ya wachezaji kumi bora kwa mwaka 2015 ikiongozwa na Lionel Messi ikifuatiwana Neymar na Cristiano Ronaldo kutajwa kuwa nafasi ya nane. December 27 Lionel Messi ametajwa kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2015 (Globe Soccer Awards) inayotolewa kila mwaka.
winners_home-1
List ya washindi wa tuzo za Gloge Soccer Awards 2015
Globe Soccer Awards 2015 zilizotolewa Dubai ni tuzo maalum kwa ajili ya wanasoka, viongozi bora wa klabu, wakala bora, kocha bora. Hizi ni tuzo ambazo zinatolewa kwa uandaaji au ushirikiano wa chama cha mawakala wa wachezaji soka barani Ulaya EFAA (European Association of Player’s Agents) na umoja wa vilabu vya soka barani Ulaya  ECA (European Club Association). Hii ndio list ya washindi wa tuzo hizo kwa mwaka 2015.
  • Lionel Messi (Mchezaji bora wa mwaka)
  • FC Barcelona (Klabu bora kwa mwaka)
  • Jorges Mendes (Wakala bora wa mwaka)
  • Marc Wilmots (Kocha bora wa mwaka)
  • S.L BENFICA (Acadeny bora ya mwaka)
  • Ravshan Irmatov (Refa bora wa mwaka)
  • Josep Maria Bartomeu (Rais bora wa klabu)
  • Andrea Pirlo (Life time Archivement)
  • Frank Lampard (Life time Archivement)


Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment