Tuesday, December 8, 2015

TUNATOKA MAHAKAMANI KUSIKILIZA PINGAMIZI

 Mbunge wa jimbo la Tanga mjini kupiia Chama Cha Wananchi CUF, Mussa Mbarouk wapili kushoto akitoka mahakamani kusikiliza kipingamizi iliyowekwa na aliekuwa mgombea wa jimbo hilo, Omari Nundeu kupinga ushindi wake.



Mfuasi wa CCM, Kassim Omary, akizungumza na waandishi wa habari nje ya mahakama kulalamikia wanachama ndani ya chama kukihujumu na kupelekea baadhi ya maeneo kuchukuliwa na wapinzani.

No comments:

Post a Comment