Sunday, June 12, 2016

BIASHARA MITAANI



Mfanyabiashara wa kuuzwa mwiko na pawa ambaye hakutambulika jina lake akichuuza biashara yake mitaa ya Usagara Tanga kama alivyokutwa na Camera ya tangakumekuchablog.
Biashara wahenga wanasema Kizuri chajiuza Kibaya Chajitembeza lakini msemo huu unaendana tofauti ya Kijana huyo ambaye amekuwa akitembeza biashara yake katikati ya jiji la Tanga na kuuza hadi kuishiwa na bidhaa zake.


Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment