Mfanyabiashara wa Ndizi aina ya
mkono wa tembo soko kuu la Ngamiania Tanga, Hamad Omar, akitayarisha ndizi zake
kuwauzia wateja, kipindi hiki cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani ndizi hutumika
kama moja ya Futari, Kidole kimoja cha mkono wa tembo kilikuwa kikiuzwa kwa
1,000 hadi 1,200 kulingana na ukubwa.
No comments:
Post a Comment