Monday, January 30, 2017

SOKO LA BAMIA TANGA LADODA

Mkulima wa bamia shamba la Ngomeni kata ya Chumbageni Tanga, Suleiman Lugendo, akivuna kupeleka masokoni. Mkulima huyo amelalamika kukosa soko la uhakika na badala yake wamekuwa wakipeleka masokoni na kutegemea wateja wa  rejareja na baadhi ya nyakati kuuza kwa hasara kuepika kuwaharibikia mikononi.








Mkuliama wa bamia shamba la Ngomeni kata ya Chumbageni Tanga, Saleh Omary Ngole, akionyesha bamia ya mbegu kutoka Holland, mkulima huyo amekuwa akipeleka bamia zake katika masoko na kuuza rejareja baada ya kukosa soko la uhakika na baadhi ya nyakati kuuza kwa hasara kuepuka kuwaozea mikononi. Kisado kimoja kwa jumla alikuwa akiuza,2,000.

No comments:

Post a Comment