Wengine waliamini wamekufa, leo ghafla Watu 15 waliofukiwa na kifusi toka juzi watuma msg
Kupitia AzamTV, Mwandishi wa habari Geita ameripotia kwa njia ya simu kwamba watu hao 15 wametuma msg na kusema wote wapo hai ila tu wanahitaji msaada wa chakula, maji, sigara na kiberiti kama waraka wa maandishi ambayo yanasomeka .
No comments:
Post a Comment