Sunday, March 29, 2015

KONGAMANO LA UZAZI, ZANZIBAR, JE KUPANGA UZAZI WA MPANGO NI SAHIHI?

KITENGO SHIRIKISHI CHA AFYA ZANZIBAR CHA ANDAA MJADALA JUU YA UZAZI WA MPANGO KATIKA UISLAM.

1
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar  Issa Haji Zidi akizungumza na vijana katika mjadala kuhusu uzazi wa mpango katika Uislamu ulioandaliwa na Kitengo  Shirikishi cha Afya ya mama na mtoto kwenye ukubi wa Chuo cha Mafunzo Kilimani Mjini Zanzibar.
3
Mkufunzi kutoka Chuo cha  Sayansi ya Afya ya Mbweni, Asha Ali Khamis akionyesha moja ya dawa za kisasa za uzazi wa mpango katika mjadala huo.
4
Mmoja wa washiriki wa mjadala kuhusu uzazi wa mpango katika uislamu  Dosa Omar Machano akitoa mchango wake kuhusu umuhimu wa uzazi wa mpango.
6
Mshiriki wa mjadala huo kutoka Mkoa Kaskazini  Unguja Asha  Makame Mohammed akichangia mada zilizowasilishwa.
5
Baadhi ya washiriki wakifuatilia mada zilizowasilishwa katika mjadala kuhusu uzazi wa mpango katika Uislamu uliofanyika ukumbi wa Chuo cha Mafunzo Kilimani.

No comments:

Post a Comment