Sunday, March 22, 2015

MAHAKAMA YAMWACHIA CHRIS BROWN

Maamuzi ya Mahakama kuhusu kesi inayomkabili Chris Brown!!

brown
Baada ya kutumikia kifungo cha miaka sita nahukumiwa kwa kosa la kumpiga aliyekuwa girlfriend wake Rihanna, kuna maamuzi ambayo mahakama ya Los Angeles imetoa kuhusiana na hitmaker wa nyimbo ya ‘New flameChris Brown.
Ni miaka sita tangu mwanamuzi Rihanna amshtaki Chris Brown kwa kosa la kumpiga na kutumikia adhabu hiyo ambayo alikuwa katika kipindi cha majaribio na sasa yuko huru baada ya kesi yake kumalizika.
Katika kuonyesha furaha yake Chris Brown baada ya kutoka mahakamani hapo aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa anamshukuru  Mungu kwa kuwa yupo huru.
“IM OFF PROBATION!!!!!!!! Thank the Lord!!!!!!”
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment