Saturday, March 21, 2015

YANGA YALIPIZA KISASI CHA SIMBA

 Mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyozima akimtoka kiungo wa Mgambo Ramadhani Malima wakati wa ligi kuu Tanzania Bara Vodacom uliochezwa jioni hii katika uwanja wa CCM Mkwakwani Tanga na Yanga ilishonda kwa mabao 2 -0

 Washabiki wa timu ya Mgambo JKT wakiwa hawaamini baada ya timu yao kufungwa mabao 2-0 jana katika uwanja wa Mkwakwani Tanga.

 Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Kpah Sherman akifanyiwa faulu wakati wa ligi kuu Tanzania Bara Vodacom uwanja wa Mkwakwani Tanga jioni hii ambapo Yanga ilishinda kwa mabao 2 .0
 Wachezaji na viongozi wa Yanga wakishangilia goli la pili dhidi ya Mgambo JKT jana mchezo ulichezwa uwanja wa Mkwakwani Tanga jioni hii
Shabiki wa timu ya Yanga akishangilia ushindi kwa staili ya aina yake leo jioni  dhidi ya Mgambo JKT ulichezwa uwanja wa Mkwakwani Tanga.

No comments:

Post a Comment