Friday, March 27, 2015

MAADHIMISHO SIKU YA KUTUNDIKA MIZINGA , HANDENI

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Said Magalula akitundika mzinga katika msitu wa Bogolwa Wilayani Handeni Mkoani Tanga wakati wa maadhimisho siku ya kutundika mizinga kitaifa iliyofanyika Wilayani humo juzi


  Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Husna Rajab(katikati) Mkuu wa Wilaya ya  Lushoto Mariam Juma (kushoto) Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Suleiman Luwowa (mwisho kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Tanga mjini , Abdulla Lutavi (kulia) wakitundika mzinga wa nyuki wakati wa maadhimisho ya siku  ya Utundikaji Mizinga ya Nyuki kitaifa iliyofanyika kijiji cha Bulogwa Wilayani Handeni Mkoani Tanga juzi.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Said Magalula, akiangalia asali iliyowekwa katika chupa wakati maaonyesho siku ya Utundikaji Mizinga iliyofanyika kitaifa kijiji cha Bologwa Wilayani Handeni Mkoani Tanga juzi

 Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Said Magalula, akiangalia nta wa Asali katika mabanda ya maonyesho siku ya Utundikaji mizinga kitaifa yaliyofanyika kijiji cha Bulogwa Wilayani Handeni Mkoani Tanga juzi.

No comments:

Post a Comment