Tuesday, March 31, 2015

MAYWEATHERER NA MANNY WAWAGAWA WAMAREKANI

Floyd Mayweather VS Manny Pacquiao.. Kura ya Muhammad Ali iko upande huu !

Floyd Pac
50 Cent, Justin Bieber, Mike Tyson.. Hayo ni baadhi ya majina ya mastaa ambao walijitokeza kabisa na kusema kwamba wanaamini mkali wao Floyd Mayweather atamshinda Manny Pacquiao May 2 2015.
Mtoto wa Legend wa mchezo wa Ngumi DunianiMuhammad Ali ambaye anaitwa Rasheda Ali amesema kura ya baba yake iko upande wa Pacquiao; “My dad is Team Pacquiao all the way!”– Rasheda Ali.
.
Muhammad Ali akiwa na mwanae Rasheda.
Rasheda amesema baba yake huenda akawa mmoja ya mashabiki watakaojitokeza kushuhudia mpambano huo ambao kwa Muhammad ni kama utakuwa unamkumbusha enzi zake akiwa ulingoni.
Hutopitwa na habari yoyote inayonifikia na niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment