Tuesday, March 31, 2015

MAMBO YA MAY 1 HAYOO

Kwenye siku ya Wajinga leo, Nay wa Mitego kasema anamuoa huyu

Nay 1Nimeamua kuoa kabisaa.. Kesho(Leo) nitakua nafunga ndoa, huyu ndo mke wangu… Apa sasa ata nikifumania nitapigana mpaka mwisho, na nitakua na haki ubachela byeee Kule sirudi tenaaaaa, Kwa niliowaalika karibuni I hope mtaenjoy‘ ndio kaandika hivyo Nay wa Mitego
Nay 2
Nay 23

No comments:

Post a Comment