Kwenye siku ya Wajinga leo, Nay wa Mitego kasema anamuoa huyu
‘Nimeamua
kuoa kabisaa.. Kesho(Leo) nitakua nafunga ndoa, huyu ndo mke wangu… Apa sasa
ata nikifumania nitapigana mpaka mwisho, na nitakua na haki ubachela
byeee Kule sirudi tenaaaaa, Kwa niliowaalika karibuni I hope mtaenjoy‘ ndio kaandika hivyo Nay wa Mitego
No comments:
Post a Comment