Wednesday, March 25, 2015

UOKOZI NDEGE ILIYOPOTEA UNAENDELEA

ANGALIA PICHA : SHUGHULI YA UOKOAJI KATIKA AJALI YA NDEGE YA GERMANWINGS ZIMEANZA TENA NCHINI UFARANSA


 Polisi nchini Ufaransa wameeleza kuwa hali mbaya ya hewa inakwamisha zoezi la utafutaji miili ya watu wapatao 150 katika eneo la ajali ya ndege na hivyo kuchukuwa siku kadhaa.
  Waathirika wa ajali hiyo wanatoka nchi mbali mbali ambapo watu 45 ni Wahispania huku zaidi ya sitini wakiwa ni Wajerumani.Kumi na sita, kati yao walikuwa ni wanafunzi kutoka shule moja nchini Ujerumani ambao walikuwa wakijerea kutoka katika ziara ya kutembelea Hispania.




"



No comments:

Post a Comment