Saturday, March 28, 2015

VIMBWANGA VYA WALIMWENGU

Ingekua wewe ndio Baba mkwe sasa na hasira zako zooooote, ungeamua nini kwenye hii?

b mkwe 2Katika vile vichekesho ambavyo unaweza kukutana navyo kwa siku na dakika zako chache ukazitumia kufikiria, kufurahi na kucheka…… nisaidie kunipa jibu kwenye hii hapa chini, ungekua wewe ndio Baba Mkwe sasa ungesimamia wapi?
baba mkwe

No comments:

Post a Comment